Subiri...

About Us

About Us

## Sangakariakoo Ni Tunafanya Bishara Kwa Njia Ya Mtandano - Kupitia app - Pamoja na tovuti - Biashara yetu imesajiliwa brela na tra kwa jina la Sangakariakoo Group - Tunalipa kodi duka lipo kariakoo mtaa wa Aggrey na Ndanda ambapo mteja atakuja kuchukulia mzigowako - Endapo ataitaji kufika, ila pia mizigo inatumwa popote pale Tanzania kwa usalama na uhakika